Tanzania Yaiwinda DR Congo Kufuzu AFCON 2025

Tanzania Yaiwinda DR Congo Kufuzu AFCON 2025

Tanzania Yaiwinda DR Congo Kufuzu AFCON 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeanza mazoezi kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco dhidi ya DR Congo itakayochezwa tarehe 10 October na tarehe 15 October 2024.

Mechi ya kwanza itapigwa DR Congo October 10, huku mchezo wa marudiano kupigwa ukitarajiwa kuchezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam October 15,2024.

Aidha DR Congo ndio Vinara wa kundi H wakishinda mechi zao zote mbili, ikiwa na Pointi sita huku Tanzania ikifuatia Katika nafasi ya pili ikishinda mechi moja na kutoka sare mara moja ikiwa na Pointi 4.
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA