NAFASI 15 za Kazi International School of Tanganyika (IST)

NAFASI 15 za Kazi International School of Tanganyika (IST)
NAFASI 15 za Kazi International School of Tanganyika (IST)

International School of Tanganyika (IST) ni shule ya kutwa inayojitegemea, ya kibinafsi na isiyo ya faida iliyoko kwenye kampasi mbili za Dar es Salaam, Tanzania.

Shule hiyo inayo furaha kutangaza nafasi 15 za kazi kama ilivyoainishwa katika Tangazo hili.

Angalia fursa zilizopo hapa chini, furahia kujiunga na timu yetu iliyojitolea ili kuleta matokeo ya kuridhisha katika elimu.

Nafasi 15 za Kazi zilizotangazwa na IST.

  1. DP Biology/MYP Science
  2. MS Learning Support
  3. Activities & Athletics Director
  4. Secondary Vice Principal
  5. MYP Math Teacher
  6. IB Diploma Coordinator
  7. Student Services Coordinator
  8. DP Physics/MYP Science
  9. MYP English Language Acquisition (ELA)
  10. DP Business Management/MYP Individuals and Societies
  11. DP and MYP English Language and Literature
  12. DP Psychology and MYP Individuals & Societies
  13. MYP Design
  14. MYP Individuals & Societies
  15. High School Counselor

Ili kuwasilisha maombi yako, tafadhali link ilyotolewa na ukamilishe mchakato wa kutuma maombi mtandaoni.

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA