NACTVET Taarifa Muhimu kuhusu Matokeo ya Uhakiki wa Wanafunzi kwa Awamu ya Pili

NACTVET Taarifa Muhimu kuhusu Matokeo ya Uhakiki wa Wanafunzi kwa Awamu ya Pili
NACTVET Taarifa Muhimu kuhusu Matokeo ya Uhakiki wa Wanafunzi kwa Awamu ya Pili 

Taarifa kwa Umma Kuhusu Kuchelewa Kutoka kwa Matokeo ya Uhakiki wa Wanafunzi kwa awamu ya Pili Kutoka NACTVET.

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET
linapenda kutoa taarifa kwa umma kwamba, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa Baraza matokeo ya uhakiki wa wanafunzi kwa awamu ya pili yaliyotarajiwa kutoka  tarehe 2 Oktoba, 2024 yatatoka tarehe 6 Oktoba 2024.

Baraza hilo linaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza kutokana na 
mabadiliko haya. 
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA