FOMU za Kujiunga na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) 2024/2025

FOMU za Kujiunga na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) 2024/2025
FOMU za Kujiunga na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) 2024/2025,  Joining Instructions 2024/2025 at Sokoine University of Agriculture (SUA).

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ni Chuo Kikuu cha umma kilichopo Morogoro Tanzania.

Chuo kikuu hicho kipo kwenye miteremko ya milima ya Uluguru. SUA inafahamika zaidi kwa kutoa kozi na programu nyingi katika fani za Kilimo, Sayansi ya Mifugo, Misitu, Sayansi ya Wanyama, Usimamizi wa Wanyamapori, Usimamizi wa Utalii, Sayansi ya Mazingira, Sayansi ya Chakula, Maliasili, Lishe, Maendeleo Vijijini, tangu kuanzishwa kwake.

Hapa chini tumekuwekea fomu ya maelekezo ya jinsi ya Kujiunga na Chuo hicho.

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD FOMU ZA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) 2024/2025

Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA