YANGA yamrejesha Edna Lema

 

Yanga imemrejesha Edna Lema ambaye alikaribia kuipa Yanga Princess Ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake 2022/2023.

Uongozi wa Yanga umefikia maamuzi hayo ya kumrejesha Edna Lema katika Kikosi Cha Yanga Princess baada ya misimu miwili isiyoridhisha.

Jukumu la kwanza la Lema litakuwa kukisuka upya kikosi cha Yanga Princess ambapo ni kama kazi imeanza upya baada ya kuachana na idadi kubwa ya wachezaji waliotumika msimu uliopita

Lema ana uzoefu mkubwa na soka la Wanawake ambapo alicheza kwa mafanikio kabla ya kuchukua majukumu ya ukufunzi.

Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA