TPLB yafanya Maboresho ya Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC

TPLB yafanya Maboresho ya Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya maboresho ya ratiba ya Ligi Kuu ya NBC ambapo imeipangia tarehe michezo 14 ambayo haikuwa na tarehe katika ratiba ya awali na kufanya mabadiliko ya tarehe katika michezo minne (4).

Aidha Bodi imefanya mabadiliko ya muda wa michezo miwili huku mchezo mmoja ukibadilishiwa kiwanja kama ilivyoainishwa katika jedwali hapa chini, sababu ya mabadiliko hayo ikiwa ni kuondolewa kwa klabu za Azam na Coastal Union kwenye michuano ya CAF ngazi ya klabu.

Ratiba kamili ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 inapatikana kwenye link hapa (Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2024/2025).

Ratiba ya Kamili ya michezo maboresho ni kama ifuatavyo;

Ratiba ya Kamili ya michezo maboresho ni kama ifuatavyo


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA