TIMU AMBAZO YANGA INAWEZA KUTANA NAZO HATUA YA MAKUNDI

TIMU AMBAZO YANGA INAWEZA KUTANA NAZO HATUA YA MAKUNDI
TIMU AMBAZO YANGA INAWEZA KUTANA NAZO HATUA YA MAKUNDI CAF CHAMPIONS LEAGUE 2024/2025.

Klabu ya Young Africans ndio klabu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kutinga hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF Champions League 2024/2025).

Kuelekea droo ya makundi itakayofanyika October 07 Mjini Cairo nchini Misri, Klabu ya Yanga ipo poti ya pili sambaba na Vilabu vya Raja Casablanca, Pyramids FC na CR Belouizdad.

Timu hizo hazitakuna na Young Africans katika hatua ya makundi na badala Wananchi watapangwa dhidi ya timu kutoka poti 1, 3 na 4.

Poti 1 ina timu za Al Ahly, Esperance, Mamelodi Sundowns na TP Mazembe.

Poti 3 ina timu za Al Hilal, Orlando Pirates, Sagrada Esperanca na AS Far Rabat

Poti 4 ina timu za MC Alger, Djoliba, Stade De Abdijan na Maniema Union.

๐๐จ๐ญ ๐Ž๐ง๐ž:
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly ๐Ÿ†
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Esperance
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ TP Mazembe

๐๐จ๐ญ ๐“๐ฐ๐จ:
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟCR Belouizdad
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Raja Athletic Club
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Young Africans
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids FC

๐๐จ๐ญ ๐“๐ก๐ซ๐ž๐ž:
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Al Hilal 
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Orlando Pirates
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Sagrada Esperanรงa
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ ASFAR

Pot 4:
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ MC Alger
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Djoliba
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Maniema Union
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Stade d'Abidjan
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA