Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ndiyo inasimamia mchakato wa udahili kwa vyuo vya elimu ya juu nchini Tanzania.
Kwa mwaka wa masomo 2024/2025, TCU imetekeleza mfumo wa chaguzi nyingi ili kuchukua wanafunzi ambao wamekubaliwa katika taasisi zaidi ya moja.
JINSI ya Kuangalia Majina ya waliochaguliwa Chuo zaidi ya Kimoja au Program.
- Tafuta sehemu iliyoandikwa Orodha ya PDF ya Waliochaguliwa Shule zaidi ya Moja.
- Donwload PDF ya orodha ya waombaji waliochaguliwa kwa kila raundi.
- Hifadhi PDF kwenye kifaa chako Simu au Computer.
- Fungua faili lililopakuliwa na utafute jina lako.
- Unashauriwa kuchapisha orodha ya waliochaguliwa kwa madhumuni ya Kuangalia hata baadae.
DONWLOAD PDF YA MAJINA HAPA
Kwa Taarifa zaidi tembelea tovuti rasmi ya TCU kwa http://www.tcu.go.tz/.