SIFA ZA MPIGA KURA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024

SIFA ZA MPIGA KURA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024
SIFA ZA MPIGA KURA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024

Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 27 November 2024  hizi hapa ni Sifa za Mpiga Kura.
  • Awe raia wa Tanzania.
  • Awe na umri wa miaka 18 au zaidi.
  • Awe ni mkazi wa eneo la kitongoji.
  • Asiwe na ugonjwa wa akili uliothibitishwa na Daktari anayetambulika na Serikali au bodi ya utabibu.
  • Awe amejiandikisha kupiga Kura katika kitongoji husika na
  • Awe na akili timamu.
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA