SERENGETI GIRLS MABINGWA UNAF

SERENGETI GIRLS MABINGWA UNAF

TIMU ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Girls jana ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kaskazini mwa Afrika (UNAF) licha ya sare ya bila kufungana na wenyeji, Tunisia Uwanja wa Ariana.

Serengeti Girls inakamilisha mechi zake bila kupoteza, kufuatia kumaliza mechi zake tatu bila kupoteza, ikishinda mbili za awali 4-1 dhidi ya Misri na 5-3 dhidi ya Morocco hapo hapo Uwanja wa Ariana na wanatwaa taji hilo kwa wastani mzuri wa mabao baada ya kufungana kwa pointi na Tunisia.

Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA