NECTA: TAARIFA MUHIMU KWA WATAHINIWA WA KUJITEMEA

NECTA: TAARIFA MUHIMU KWA WATAHINIWA WA KUJITEMEA
NECTA: TAARIFA MUHIMU KWA WATAHINIWA WA KUJITEMEA

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) linapenda kuwajulisha watahiniwa wote wa kujitegemea kuwa Mtihani wa Kidato Cha Nne 2024 utafanyika Kuanzia tarehe 11 November hadi tarehe 29-2024.

Pia Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa Kidato Cha Pili utafanyika Kuanzia tarehe 28 October hadi tarehe 7 November 2024.

Aidha watahiniwa wote wa kujitegemea waliosajiliwa kufanya Mtihani na Upimaji huo wanatakiwa kufika katika vituo vyao vya mitihani kwaajili ya kuchukua barua na kuhakiki taarifa zao.

Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA