Mkurugenzi Mtendaji amepata kibali cha ajira mpya kwa mwaka wa fedha 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024, kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Kufuatia Kibali hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita anakaribisha maombi kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi za kazi 12 zifuatazo:-
POST: DEREVA DARAJA II - 6 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Geita More Details | 2024-09-19 Login to Apply |
POST: MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II - 4 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Geita More Details | 2024-09-19 Login to Apply |
POST: MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II - 2 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Geita More Details | 2024-09-19 Login to Apply |
Tags
Ajira