MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI (ORAL INTERVIEW) TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI (ORAL INTERVIEW) TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA
MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI (ORAL INTERVIEW) TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

Kufuatia usaili wa kwanza uliofanyika kuanzia tarehe 19 Agosti, 2024 hadi tarehe 24 Agosti, 2024 katika vituo mbalimbali nchini, Tume ya Utumishi wa Mahakama 
inawatangazia walioorodheshwa kwenye tangazo hili kuwa, wahudhurie usaili wa ana kwa ana (Oral Interview) na usaili kwa vitendo (Practical interview) kwa Kada ya 
Afisa Tehama II, Mwandishi Mwendesha Ofisi II na Dereva II kwa tarehe na vituo 
vilivyooneshwa kwenye orodha ya majina ya wasailiwa iliyoambatishwa na Tangazo 
hili.

Usaili utafanyika kwa kila kada iliyoainishwa kwenye jedwali na tarehe husika kuanzia  saa 2:00 asubuhi.

Kwa wale watakaofanya usaili wa vitendo na kufaulu, wataendelea  na usaili wa ana kwa ana.

Wahusika wote wafike na vyeti halisi vya Elimu, Taaluma na kuzaliwa.

Aidha, wasailiwa wazingatie kuhudhuria usaili kwenye vituo  walivyopangiwa na si vinginevyo.

Kwa wale ambao hawataona majina yao, watambue kuwa hawakupata nafasi ya
kufanya usaili hatua ya pili.

Kwa tangazo hili, wahusika watembelee Tovuti ya Mahakama ya Tanzania 
(www.judiciary.go.tz) au Tume (www.jsc.go.tz) ili kuona tarehe na kituo cha usaili.

Kwa maulizo zaidi piga; simu Na 0734219821 au 0738247341 au barua pepe: 

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA HATUA YA PILI

Kupata tangazo na orodha ya majina ya waliochaguliwa kuudhulia usaili wa hatua ya pili kwa kada mbalimbali  [BOFYA HAPA]
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA