MABADILIKO YA MAHALI PA KUFANYIA USAILI WA MAHOJIANO KADA ZA AFYA BABATI- MANYARA (MDAs & LGAs)
Wasailiwa wote wa Kada za Afya (MDAs & LGAs) walioombea kazi kwa Mkoa wa Manyara mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili wa Mahojiano.
Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao
Tags
Usaili