JINSI YA KURUDISHA AKAUNTI YA AJIRA PORTAL

JINSI YA KURUDISHA AKAUNTI YA AJIRA PORTAL
JINSI YA KURUDISHA AKAUNTI YA AJIRA PORTAL

Ikiwa unashindwa kulogin kwenye akaunti yako kwenye Ajira Portal au umejisahau neno lako la siri, unaweza kufuata hatua hizi kurejesha akaunti yako:

  1. Tembelea Tovuti ya Ajira Portal kwenye link https://www.ajira.go.tz.
  2. Nenda Sehemu ya kulogin, mara nyingi inakuwa imeandikwa Log in au Sign In.
  3. Tafuta sehemu imeandikwa Forgot Password.
  4. Ikiwa umesahau neno la siri lako, tafuta sehemu iliyoandikwa Forgot Password au Reset Password.
  5. Jaza barua Pepe au Jina la mtumiaji (email).
  6. Utatakiwa kuingiza barua pepe au jina la mtumiaji ambalo lilikuwa linatumika kwenye akaunti yako.
  7. Utapokea email ya kurejesha Neno lako la siri.
  8. Email hiyo itakuwa na maelekezo ya jinsi ya kuweka upya neno la siri.
  9. Fuata maelekezo yaliyotolewa katika barua pepe hiyo ili kuweka upya neno la siri lako.
  10. Jaza neno la siri Jipya.
  11. Baada ya kuweka upya nenosiri, utakuwa na uwezo wa kuingia tena kwenye akaunti yako kwa kutumia nenosiri jipya.
Ikiwa utapata changamoto zaidi, unaweza kuwasiliana na huduma kwa wateja ya Ajira Portal kupitia maelezo ya mawasiliano yaliyopo kwenye tovuti yao.
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA