FEISAL SALUM AIGOMEA AZAM FC

Karibu Nijuze Habari Blog, chanzo chako kikuu cha habari zote ndani na nje ya nchi.

Nijuze Habari Blog tumejitolea kukupa habari bora zaidi, tukitilia mkazo habari za Michezo, Ajira, Magazeti, Matokeo, Selection, Interview, Internship pamoja na Makala Mbalimbali.
FEISAL SALUM AIGOMEA AZAM FC
Kiungo Mshambuliaji , Feisal Salum Abdallah amepiga chini ofa ya pili ya Azam FC iliyomtaka kuongeza mkataba mpya.

Feisal Salum anatajwa kuhitaji changamoto mpya ndani au nje ya nchi.

Baada ya kugoma kuongeza Mkataba pale Azam FC, Klabu hiyo imetajwa kuwa kuandaa ofa nyingine ili kumbakisha Feisal.

Aidha inatajwa kuwa viongozi wa Simba walifanya mazungumzo na Feisal zaidi ya mara mbili na dili hilo halikufanikiwa kukamilika.

Kwa sasa ni Yanga ambao wanafuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Feisal pale Azam FC huku wakiamini Mzanzibar huyo anaweza kurejeshwa tena jangwani mwishoni mwa msimu huu wa 2024/2025.

Kutokana na hayo ni wazi tutarajie kumuona Feisal Salum katika vilabu vya Simba au Yanga msimu ujao wa 2025/2026.
Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA