50 SIMBA KUIFUATA AL AHLY TRIPOLI

50 SIMBA KUIFUATA AL AHLY TRIPOLI

Kikosi cha Simba kinaondoka nchini Alfajiri ya Jumatano kuelekea nchini Libya tayari kwa mchezo wa Kwanza wa raundi ya Kwanza ya kombe la Shirikisho CAF Confederation Cup dhidi ya Al Ahly Tripoli

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Simba, msafara utajumuisha watu 50 ambao ni wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi

Simba itakuwa na siku mbili za maandalizi huko Libya kabla ya siku ya mchezo ambao utapigwa Jumapili ya September 15-2024.

Katika hatua nyingine Kikosi hicho kimekamilisha maandalizi ya mwisho kabla ya safari hiyo ambao itaanza Alfajiri ya kesho Jumatano, Septemba 11-2024.










Post a Comment (0)
Previous Post Next Post

PATA NYIMBO ZOTE MPYA BONYEZA HAPA

 

MATANGAZO YA BIASHARA WASILIANA NASI KUPITIA nijuzehabariblog@gmail.com

 

JIUNGE NA GROUP ZETU HAPA CHINI UPATE FURSA KAMA HIZI KILA SIKU.

 

GROUP LA WHATSAPP NO 1 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 2 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 3 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 4 BOFYA HAPA

 

GROUP LA WHATSAPP NO 5 BOFYA HAPA